HII KALI: MTANZANIA ADAIWA KUMPA VITISHO MKE WA RAISI ZUMA


KAMA HAUKUJUA BASI JUA KUWA
Mtanzania aitwaye Stephen Ongolo anashikiriwa na polisi huko Afrika Kusini kwa kosa la kumpa vitisho mke wa raisi Jackob Zuma.
Kwa mujibu wa habari zilizoandikwa jana na News24.com ni kwamba mtanzania huyo anadaiwa kumlazimisha mke wa raisi Zuma kumpa fedha Rand laki mbili ili asitoe siri za mke huyo wa raisi.
Hata hivyo, bwana Ongola amekanusha kumtisha mke wa raisi.

Soma zaidi habari hii toka news24.com
Share:

0 comments:

Post a Comment