BEKA NA MWAJEI: NO. 1

Beka: Hivi Mwaje we fomfoo ulipata divishen gani vile ?

Mwajei: Sisi shule yetu ilifutiwaga matokeo, sijui kwanini, hivi na we ulipata ngapi?.

Beka: Wani ya Saba

Mwajei: Iyo ndo inakuwa ina "A" Ngapi?

Beka: Zamani sana nshasahau "A" ngapi, ila kibao tu! We cha msingi jua mie ndo naleta Ugali hapa home, "A" haziongezagi hata mchuzi kwenye mboga!

          --------------------------------------------------------------------------

Hapo kazi ipo....! 
Share:

0 comments:

Post a Comment