JINSI YA KUSALIMIANA KATIKA ENGLISH


Salamu katika Kiingereza
Kusalimiana ni jambo la msingi sana katika lugha yoyote. Makala hii inakupa ufahamu kuhusu mambo ya msingi ya kufahamu na kuzingatia kuhusu kusalimia katika English. Utajifunza salamu katika kiingereza zipoje na jinsi ya kujibu.
Kwanza kabisa elewa kuwa LUGHA yoyote ni sehemu ya utamaduni wa wale wanaoitumia lugha hiyo. Hivyo basi kwakua tamaduni zipo tofauti ndivyo ilivyo hata kwenye matumizi ya lugha.
Mfano:
1.Kwenye English hakuna salamu maalum kwa mtu mzima au aliyekuzidi rika kama ilivyo kwa Kiswahili kuwa tuna SHIKAMOO kwa watu wazima au waliotuzidi rika.
Hivyo kwa mfano salamu ya GOOD MORNING (Gud moning) ambayo tafsiri yake ni ‘’ZA ASUBUHI” ni kwa watu wa marika yote. Hata HOW ARE YOU? ( Hau a yu ?) ambayo tafsiri yake ni ‘’U HALI GANI ?” ni kwa watu wa marika yote.
2. Kuna mazungumzo  katika Kiswahili  ambayo hayapo katika English. Mfano kwenye Kiswahili tunayo “Umeamkaje ?”, hatuna sentensi yenye tafsiri hii ya moja kwa moja katika English. Badala yake tumia HOW DID YOU SLEEP (Hau did yu slip?) ambayo ukiitafsiri moja kwa moja kwa Kiswahili itakua  ‘’ULILAJE?’’ila haifai kuitafsiri moja kwa moja.
3. Elewa kuwa kama ilivyo kwenye Kiswahili kua kuna aina ya salamu ambazo hutumika tuu kwa watu wa rika zako au watu wako wa karibu, hivyo hivyo kwenye English zipo salamu ambazo nazo ni za watu wa rika yako au watu wako wa karibu. Salamu hizi huitwa INFORMAL GREETINGS.
Tambua hata hivyo kuwa Informal Greetings za Kiswahili sio lazima zitafsirike moja kwa moja kwa English.
Mfano: Kwenye Kiswahili huwa tunasema MAMBO? kwenye English sema WHAT’S UP? (Wats ap?) ukiitafsiri moja kwa moja hiyo what’s up itamaanisha KIPI KIPO JUU?

Baada ya hayo tuangalie sasa salamu mbalimbali katika English.

KUSALIMIANA ASUBUHI:
Good morning ( Gud moning)  -  ZA ASUBUHI
Jibu: Good morning, how are you? (Gud moning, hau a yu?) -ZA ASUBUHI, UHALI GANI?
I am fine, thanks. How are you too? (Am fain, thenks, hau a y utu?)  - MZIMA , ASANTE. UHALI GANI NAWE? Au ingeweza kusemwa hivi:
I am fine, thanks.  How did you sleep ? (Am fain, thenks, hau did yu slip?)  MZIMA , ASANTE. UMEAMKAJE?
Ukiulizwa HOW DID YOU SLEEP? Jibu hivi :  GREAT ! (Gret) - (VIZURI SANA) au kama haujamka vema, basi NOT WELL (Not wel) kwamba  SIKUAMKA VIZURI.
Au kama unataka kuelezea kuwa mambo sio mazuri wala sio mabaya, ili mradi siku zinaenda unaweza sema.
I CAN’T COMPLAIN  ( I kent komplein) – SIWEZI LALAMIKA

KUSALIMIANA MCHANA
Kwa mchana waweza salimia hivi:
Good afternoon ( Gud aftanun) – HABARI YA MCHANA ?
Kuitikia: Good afternoon, how are you? ( Gud aftanun, haw are yu?) – HABARI YA MCHANA, WAENDELEAJE?
Kumbuka , katika English , hata kama mlikwisha salimiana asubuhi, bado mchana waweza kutumia salamu hiyo hiyo niliyoielezea hapo juu.

KUSALIMIANA USIKU
Good evening ( Gud ivining) – HABARI YA JIONI ?
Kuitikia: Good evening, how are you? ( Gud ivining, haw are yu?) – HABARI YA MCHANA, WAENDELEAJE?
I am fine, thanks. How are you too? (Aiem fain, thenks, hau a y utu?)  - MZIMA , ASANTE. UHALI GANI NAWE?
Jibu: I’m great , how was your day ? (Am gret, hau woz yua dei ?) – NIPO POA SANA,  JE SIKU YAKO ILIKUA VIPI ?
Jibu: It was great, thanks. ( It woz gret, thenks) – ILIKUA POA SANA , ASANTE

Kumbuka kusalimiana hata kama ni usiku tumia Good evening kama ilivyoelekezwa hapo juu. Ila kama ni kuagana au kumtamkia mtu usiku mwema ndio utumie GOOD NIGHT.

TUWASILIANE: Kwa masomo zaidi ya English tuwasiliane kwa WhatsApp 0623 029 683 au nipigie kwa namba hiyo hiyo tuzungumze zaidi namna gani nitakusaidia uweze English vema.

Share:

6 comments:

  1. Nijimbo zuri Sana kuanzisha hii program

    ReplyDelete
  2. Kitu kizuri sana kuanzisha kitu kama hiki jaman itasaidia sana wale ambao hatuelewi kingereza vizuri

    ReplyDelete
  3. I JUST GOT MY 5.2 BTC I AM THE HAPPIEST PERSON RIGHT NOW, THANKS TO DARK WEB ONLINE HACKERS FOR SAVING MY LIFE, IF YOU ARE INTERESTED IN MAKING GOOD PROFIT IN BITCOIN MINING AND YOU ARE LOOKING FOR A GENUINE HACKERS TO EARN FOR YOU I WILL ADVISE YOU ALL TO CONTACT DARK WEB ON EMAIL: DARKWEBONLINEHACKERS@GMAIL.COM WHATSAPP +18033921735 THEY ARE GENUINE AND LEGIT THEY HAVE PUT SMILE ON MY FACE

    ReplyDelete
  4. HOW I RECOVER 150K FROM CBEX TRADING
    ⭐️⭐️⭐️⭐️⭐️

    I can't believe I'm here sharing this, but I just had to tell my story! Just a few months ago, I foolishly lost over $150k in Bitcoin to a fake investor I found online. It was an absolute nightmare, especially since a colleague of mine fell victim too. We were both feeling hopeless and defeated. Then, I confided in a close friend, who introduced me to an incredible team called JETWEBHACKERS. Skeptical but desperate, I reached out to them. To my amazement, they swiftly recovered my stolen digital assets, making what seemed impossible... possible! I can’t express what a relief it is to get my life back. If you're in doubt or struggling to recover your lost investments, don't hesitate to contact them! They have the expertise, tools, and commitment to help you reclaim your Bitcoin with integrity. I’m living proof that there’s hope beyond loss!

    Reach out to them today and turn your situation around! 🌟

    WEBSITE: jetwebhackers. com

    EMAIL: jetwebhackers@gmail.com

    Telegram: @jetwebhackers

    ReplyDelete
  5. Ushuhuda Wangu Wa Dhati 💖

    Baada ya baba yangu mdogo kuniacha kwa miezi saba ndefu, nilivunjika kabisa. Alinifungia kwenye mitandao yote ya kijamii, akasafiri mbali, na hakukuwa na njia ya kumfikia. Nilikaribia kukata tamaa juu yetu, lakini ndani kabisa nilijua singeweza kupata mtu yeyote ambaye angenipenda na kunitendea jinsi alivyonitenda.

    Siku moja, bosi wangu kazini aliona jinsi nilivyokuwa na huzuni na akanitambulisha kwa Dk. Dk. Dawn alisikiliza hadithi yangu na akaahidi kwamba mpenzi wangu atanirudia ndani ya siku tatu. Kusema kweli, sikuamini mwanzoni—lakini kwa mshangao mkubwa zaidi, siku ya tatu simu yangu iliita. Ilikuwa ni yeye! Alikuwa akilia na kuomba msamaha, akisema hataniacha tena.

    Tangu siku hiyo, uhusiano wetu umekuwa wenye nguvu na mzuri zaidi kuliko hapo awali. Amekuwa akinipenda na kunijali sana mimi na mtoto wetu, na sasa tunafunga ndoa baada ya miezi miwili tu! ❤️

    Shukrani zote kwa Dk. Dawn, ambaye kwa kweli aliwezesha jambo lisilowezekana. Ninampendekeza kwa moyo wote kwa yeyote anayekabiliwa na changamoto katika:

    Masuala ya mahusiano au ndoa

    Ugonjwa au magonjwa

    Ugumba au matatizo ya bahati nasibu

    Kesi za mahakama au kurejesha mali


    Dk. Dawn kweli hutatua matatizo kwa ufanisi na hurejesha furaha katika maisha ya watu.

    Wasiliana na Dr. Dawn kwenye WhatsApp: +2349046229159
    Barua pepe: dawnacuna314@gmail.com

    ReplyDelete