MSAADA BINAFSI (BURE KABISA) KWA WANAOTAFUTA AJIRA

Kwakuwa swala la ku apply nafasi za kazi ni  jambo gumu kwa wengi, tumeamua kusaidia wale ambao watajitokeza kutaka kupata maelekezo binafsi ya jinsi ya kuandika barua ya maombi ya kazi na pia kuandika Curriculum Vitae.
Msaada huu ni BURE KABISA.
Kama kweli upo na nia ya kupata maelekezo, jaza fomu hii kisha bofya SUBMIT:
Share:

1 comment: