FAIDA 5 ZA BLOG KWA MJASIRIAMALI


Kwa bahati mbaya wengi wakisikia blog hufikiria blog kama chombo cha kuandika habari za udaku au matukio fulani fulani  tuu ya kijamii.
Blog ni zaidi ya hivyo, blog ni moja ya nyenzo muhimu sana katika kujenga BRAND na kuongeza MAUZO ya bidhaa na huduma zako.
Unachotakiwa ni kufahamu vema jinsi ya kuandika blog kama mjasiriamali. Jikite katika shughuli au bidhaa unazouza, na ufahamu vema nani haswa walengwa wako.
Kuwa na blog yenye muonekano mzuri ni jambo la msingi , lakini sio kitu cha pekee unachohitaji kufanya.
Kama mjasiriamali unapaswa kutoa manufaa kwa wale unaowaandikia ili kweli wakutambue kuwa unaweza na wa kuamini. Nikudokeze tuu - moja ya misingi ya kuweza kuuza vizuri ni KUJENGA IMANI KWA WATEJA WATARAJIWA. Na hakuna sehemu nzuri ya kujenga kuaminika kama sio kupitia blog yako.
Wasiliana nasi tukutengenezee blog na website na kukuelemisha namna gani blog inaweza kuwa chombo cha kujenga biashara yako. WhatsApp 0757 120 020 au +57 301 297 1724.
Share:

1 comment:

  1. Ushuhuda Wangu Wa Dhati 💖

    Baada ya baba yangu mdogo kuniacha kwa miezi saba ndefu, nilivunjika kabisa. Alinifungia kwenye mitandao yote ya kijamii, akasafiri mbali, na hakukuwa na njia ya kumfikia. Nilikaribia kukata tamaa juu yetu, lakini ndani kabisa nilijua singeweza kupata mtu yeyote ambaye angenipenda na kunitendea jinsi alivyonitenda.

    Siku moja, bosi wangu kazini aliona jinsi nilivyokuwa na huzuni na akanitambulisha kwa Dk. Dk. Dawn alisikiliza hadithi yangu na akaahidi kwamba mpenzi wangu atanirudia ndani ya siku tatu. Kusema kweli, sikuamini mwanzoni—lakini kwa mshangao mkubwa zaidi, siku ya tatu simu yangu iliita. Ilikuwa ni yeye! Alikuwa akilia na kuomba msamaha, akisema hataniacha tena.

    Tangu siku hiyo, uhusiano wetu umekuwa wenye nguvu na mzuri zaidi kuliko hapo awali. Amekuwa akinipenda na kunijali sana mimi na mtoto wetu, na sasa tunafunga ndoa baada ya miezi miwili tu! ❤️

    Shukrani zote kwa Dk. Dawn, ambaye kwa kweli aliwezesha jambo lisilowezekana. Ninampendekeza kwa moyo wote kwa yeyote anayekabiliwa na changamoto katika:

    Masuala ya mahusiano au ndoa

    Ugonjwa au magonjwa

    Ugumba au matatizo ya bahati nasibu

    Kesi za mahakama au kurejesha mali


    Dk. Dawn kweli hutatua matatizo kwa ufanisi na hurejesha furaha katika maisha ya watu.

    Wasiliana na Dr. Dawn kwenye WhatsApp: +2349046229159
    Barua pepe: dawnacuna314@gmail.com

    ReplyDelete