FAIDA 5 ZA BLOG KWA MJASIRIAMALI


Kwa bahati mbaya wengi wakisikia blog hufikiria blog kama chombo cha kuandika habari za udaku au matukio fulani fulani  tuu ya kijamii.
Blog ni zaidi ya hivyo, blog ni moja ya nyenzo muhimu sana katika kujenga BRAND na kuongeza MAUZO ya bidhaa na huduma zako.
Unachotakiwa ni kufahamu vema jinsi ya kuandika blog kama mjasiriamali. Jikite katika shughuli au bidhaa unazouza, na ufahamu vema nani haswa walengwa wako.
Kuwa na blog yenye muonekano mzuri ni jambo la msingi , lakini sio kitu cha pekee unachohitaji kufanya.
Kama mjasiriamali unapaswa kutoa manufaa kwa wale unaowaandikia ili kweli wakutambue kuwa unaweza na wa kuamini. Nikudokeze tuu - moja ya misingi ya kuweza kuuza vizuri ni KUJENGA IMANI KWA WATEJA WATARAJIWA. Na hakuna sehemu nzuri ya kujenga kuaminika kama sio kupitia blog yako.
Wasiliana nasi tukutengenezee blog na website na kukuelemisha namna gani blog inaweza kuwa chombo cha kujenga biashara yako. WhatsApp 0757 120 020 au +57 301 297 1724.
Share:

0 comments:

Post a Comment