1. Kuna jambo huwezi ficha: Kuna jambo
hata ukijaribu kulificha, ukweli wake utajulikana tuu hususani kama utakuwa na
mahusiano ya muda mrefu na mtu husika. Jambo hilo ni ukweli kama unampenda kwa dhati mwenza wako au la.
Mpenzi wako akiwa makini atagundua ‘kufeki’ kwako , kutokana na matendo yako
hususani vile unavyojali hisia zake, usikivu wako kwake, heshima yako kwake, na
unavyojali umoja na kudumu kwa uhusiano wenu.
2. Fedha sikuzote itawasumbua: Hata kama
mtajitahidi kupuuzia umuhimu wa fedha katika mahusiano yenu, fedha itabaki kuwa
mhimili mkubwa wa mahusiano yenu. Hata kama nyote mna ingiza kipato kuna
changamoto mtazipata kama vile kupanga kwa pamoja jinsi ya kutumia fedha zenu,
au kujieleza kuhusu matumizi fulani ambayo mwenzi wako atahoji.
3. Kazi ya ziada: Haijalishi una hisia na
makusudio mazuri sana, bila matendo yanayomridhisha mpenzi wako, hautoweza
kujenga furaha ya kweli katika mahusiano yenu. Ni muhimu pia kutambua kwamba
pamoja na kuwa na makusudio na matendo mazuri, inakupasa kutilia mkazo kuwa
matendo yako na makusudio yako yanaaminika kwa mpenzi wako.
4.Kuna mambo hautokaa ujue ukweli wake: Haipendezi
ila ndio uhalisia kuwa pamoja na ukweli kwamba nyie mmeshibana katika mahusiano
yenu, bado kutakuwepo na siri ambazo haitaambiana. Mbaya zaidi katika siri
hizo, inaweza kuwepo siri ya hisia halisi kuhusu upendo wa mpenzi wako kwako,
au upendo wako kwake. Mfano, wapo waliooana lakini mmoja wapo sio kwamba kweli
anampenda mwenzake, ila alitaraji kujenga upendo akiwa kwenye ndoa, na kweli
anapokuwa kwenye ndoa anajikuta amejenga kumjali mpenzi wake, hatimaye
anajikuta ameweza kumpenda moja kwa moja.
5.Makosa haya ni magumu sana kusahaulika:
Kwa kawaida binadamu wengi hukumbuka mabaya kwa urahisi kuliko mazuri
tunayowafanyia. Na katika mahusiano, makosa haya mawili ; kwanza ni ‘ku cheat’
na pili kutokuonyesha mvuto wa kimapenzi kwa mpenzi wako, yanaweza kuwa makosa
ambayo si rahisi kusahaulika, ingawaje mtu atajitahidi kusamehe, na kujaribu
kufanya mahusiano yaende kawaida.

Nice
ReplyDeleteSikuwahi kuamini kitu kama hiki kingeweza kunitokea hadi ndoa yangu ilipokaribia kuisha kabisa.
ReplyDeleteMume wangu alibadilika ghafla. Mwanaume ambaye hapo awali alinipenda na kunijali akawa baridi, asiyejali, na mwenye hasira bila sababu. Aliacha kuonyesha nia katika ndoa yetu, akaniepuka kabisa, na hatimaye akaniomba talaka. Nilivunjika moyo kwa sababu nilimpenda mume wangu kwa moyo wangu wote.
Mambo yalizidi kuwa mabaya aliponizuia kila mahali — WhatsApp, Facebook, Instagram — kana kwamba sijawahi kuwepo. Nililia kila usiku nikijiuliza nilifanya nini kibaya.
Siku moja, rafiki wa karibu alinitembelea na kunitambulisha kwa mtu wa kiroho anayeitwa Dkt. Dawn. Kwa kweli, mwanzoni nilikuwa na shaka, lakini niliamua kumweleza kila kitu kwa sababu sikuwa na chochote cha kupoteza.
Dkt. Dawn alinisomea mambo ya kiroho, na nilishtuka. Alifichua siri kuhusu ndoa yangu na maisha yangu binafsi ambayo hakuna mtu aliyeyajua. Kila kitu alichosema kilikuwa sahihi 100%.
Kisha akafichua kwamba mwanamke mwingine alikuwa amemloga mume wangu. Mwanamke huyu alikuwa akimtembelea mara nyingi, na kwa upumbavu niliamini ilikuwa kuhusu kazi tu.
Dkt. Dawn alinisaidia kuvunja uchawi na akafanya ibada yenye nguvu ya kurejesha upendo kwa ndoa yangu.
Kwa mshangao wangu mkubwa, muda mfupi tu baadaye, mume wangu alinifungulia kizuizi mwenyewe na kuanza kunipigia simu na kunitumia ujumbe mwingi, akiniomba nimsamehe na nirudi nyumbani. Mwanzoni nilimpuuza kwa sababu ya maumivu aliyonisababishia, lakini hatimaye alirudi nyumbani akiwa na zawadi na machozi machoni mwake akiomba nafasi nyingine.
Leo, ndoa yetu ni imara zaidi, yenye furaha zaidi, na yenye amani zaidi kuliko hapo awali. Mapenzi kati yetu yanahisi upya kabisa.
Kana kwamba hiyo haitoshi, Dkt. Dawn baadaye alinisaidia na ibada ya ujauzito kwa sababu tulikuwa tumejitahidi kwa miaka mingi kupata watoto. Ndani ya wiki 8, nilipata mimba kiasili, na leo tumebarikiwa na wavulana wawili wazuri wenye afya njema.
Nitaendelea kushukuru milele.
Ukihitaji: Uchawi wa mapenzi wa kuungana tena na mpenzi wako wa zamani
. Usaidizi wa kurejesha ndoa
. Tamaduni za ujauzito za kupata mimba
. Usaidizi wa kiroho kwa kesi za mahakamani au kupona urithi
. Mwongozo na ulinzi wa kiroho
Ninapendekeza sana Dkt. Dawn. Ushuhuda wangu ni wa kweli, na furaha yangu leo ni uthibitisho.
Wasiliana naye kwenye WhatsApp Ikiwa unahitaji msaada wowote kati ya haya.
WhatsApp yake: +2349046229159
dawnacuna314@gmail.com